Tuesday, August 20, 2013
FEZA KESSY APATA MAPOKEZI YA KUFA MTU NCHINI BOTSWANA.
Mamia ya watu walijitokeza kwa wingi kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Sir Seretse Khama, IATA uliopo kilomita 15 nje ya mji mkuu, Gaborone kumpokea Feza aliyekuwa akiwasili kutoka Dar es Salaam.
Oneal alitweet:




Picha: Swahiliworldplanet
No comments:
Post a Comment